Dk Seif Seleman Rashid. |
Mama wa mtoto aliyetelekezwa anawajibika kuwasilisha shauri la matunzo ya mtoto katika vyombo vya sheria.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Seleman Rashid wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Anna Mallac (Chadema) aliyetaka kufahamu mpango wa Serikali wa kuwawajibisha wageni wanaowazalisha wanawake na kuwatelekeza ili kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa na kupunguza wimbi la watoto wa mitaani.
No comments:
Post a Comment