Thursday, 11 April 2013

MBEYA KUNANI?.....MAUAJI DHIDI YA WATOTO YAZIDI KUWA NI TISHIO MKOANI HUMO, MTOTO MWINGINE AUWAWA KINYAMA NA KUKATWAVIUNGO VYAKE

 TUNAOMBA RADHI KWA KUONYESHA PICHA HIZI..




                                
 
Mwana usalama akiwa ameshika moja kati ya miguu ya marehemu Lista mara tu baada ya kupatikana nusu ya mwili wa mtoto huyo, ukiwa umetupwa porini  ukiwa na baadhi tu ya viungo  
Wananchi wengi walijitokeza kuuzika mwili wa mtoto Lista.


Mtoto mmoja aliyejulikana kwa Jina la Lista Sebule (8) Mwanafunzi wa Darasa la kwanza  katika  Shule ya Msingi Mpombo  iliyo katika Kata ya Isange Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe Mkoani hapa  alipotea katika mazingira ya kutatanisha na kukutwa baada ya Siku 9 akiwa amekufa, na kuwa baadhi ya viungo vyake vimekatwa na kukosekana.
  
  

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!