Thursday 4 April 2013

KIKAO KAZI CHA USHIRIKIANO WA KUANDAA MKAKATI WA PAMOJA WA NAMNA YA KUSHUGHULIKIA MASUALA YA JINSIA KATIKA SEKTA YA MADINI CHAFANYIKA DAR.

Mkurugenzi  mkazi wa UNDP Tanzania bw, Philipe Poinsot(kulia) waziri wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto mh, Sophia Simba(katikati) na mkurugenzi mtendaji wa UN-WOMEN kanda ya Afrika mashariki na pembe ya pwani, Bi Christine Musisi, wakiwa katika kikao kazi cha ushirikiano kuhusu kuandaa mkakati wa pamoja namna ya kushughulikia masuala ya jinsia katika sekta ya madini kilichofanyika jijini Dar.



picha kwa hisani ya michuzi blog.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!