skip to main |
skip to sidebar
JUMA NATURE AFUNGUKA BAADA YA KUKATALIWA KUFANYIWA INTERVIEW NA MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA BURUDANI, KWA KOSA LA KUWA ALIVAA KAWOSH NA KANDAMBILI
hivi kwa mfano angekuwepo mzungu pale na kavaa
ndala wangesitisha mahojiano na kuvaa kaoshi ni tatizo,
kunywa nimekunywa bt kuna baya nimeliongea na hivi
kama kweri we nimuandishi wa habari unaruhusiwa
kuvaa vile kisheria kama yule mtangazaji nimeboreka
kinoma na ikiwezekana nasitisha kuanzia ssa
kupeleka ngoma zangu pale siitaji interview
No comments:
Post a Comment