Wito huo umetolewa hivi karibuni na Kamishna wa Idara ya Manunuzi ya Umma kutoka wizara ya Fedha Dk. Fredrick Mwakibinga katika kongamano la kujadili rasimu ya sera ya manunuzi lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa JB uliopo jijini Dar es Salaam.
habari kwa hisani ya fullshangwe.
No comments:
Post a Comment