Sunday, 24 March 2013

WAKAZI WA ARUSHA SASA KULIPIA MAJI SAFI NA MAJI TAKA KUPITIA M-PESA

Mkuu wa Wilaya ya jiji la arusha, John Mongella,akiongea wakati wa uzinduzi rasmi wa jinsi ya kulipia  Ankara ya maji safi kupitia huduma ya M-PESA,kwa wakazi wa mkoa wa jiji la Arusha,kutoka kushoto ni Mwenyekiti kamati ya mawasiliano na ujenzi Zanzibar Bw.Makame Mshimba Mbaruk,Mwenyekiti wa bodi ya (AUWSA) Bw.Felix Mrema. 

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!