Thursday, 21 March 2013

JE WAJUA FAIDA ZA KULA KABICHI?


  • Kabichi ina wingi wa vitamini A,calcium na pia madini ya chuma(IRON)
  • Inauwezo wa kuzuia magonjwa mengi yanayoletwa na bakteria.
  • inapunguza mafuta kwenye damu( kolestro)
  • inapunguza   sukari mwilini
  • inasafisha ini
  • inazuia aina zote za inflammation
  • inazuia kansa ya matiti na kansa ya mapafu

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!