- Kabichi ina wingi wa vitamini A,calcium na pia madini ya chuma(IRON)
- Inauwezo wa kuzuia magonjwa mengi yanayoletwa na bakteria.
- inapunguza mafuta kwenye damu( kolestro)
- inapunguza sukari mwilini
- inasafisha ini
- inazuia aina zote za inflammation
- inazuia kansa ya matiti na kansa ya mapafu
Thursday, 21 March 2013
JE WAJUA FAIDA ZA KULA KABICHI?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)














No comments:
Post a Comment