Mkopo huu unaotolewa kwa muda wa miezi 24, ambapo kwa kipindi hiki chote, mteja ataendelea kurejesha makato yake ya kila mwezi kwa taratibu na makubaliano yatakayofanyika baina ya mteja na benki ya NMB. Mikopo hii pia inawekewa bima inayomletea unafuu mkopaji endapo atapata matatizo ya kiafya ambayo yatamfanya asiwe na uwezo wa kufanya shughuli zake za kila siku za kimaisha au kufariki, basi bima hii itachukua jukumu la kumalizia deni la mkopo huu na mteja ataendelea kumiliki pikipiki hii ya miguu mitatu kama kawaida.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)














No comments:
Post a Comment