Thursday, 28 February 2013

ZIJUE FAIDA ZA KUNYWA MAJI YA MOTO/UVUGUVUGU






  • Kuboresha uyeyushwaji wa chakula. Maji ya vuguvugu yakiwekwa limao ,yanasaidia usafishaji wa tumbo
  • Kuondoa sumu mwilini kupitia jasho
  • Kunywa maji  y a moto au uvuguvugu  kunasaidia kusafisha pua na koo
  • Kuboresha mzunguko wa damu
  • Kuongeza kinga mwilini endapo asali na limao vitaongezwa
  • Husaidia upatikanaji wa haja kubwa

DOKEZO

Kunywa maji moto ni muhimu kwa afya.Jenga mazoea ya kunywa maji moto mara tu baada ya kuamka kwa matokeo mazuri.
Usinywe maji moto kutoka katika bomba. Chemsha maji na yaache yapoe na kuwa vuguvugu. Unaweza kuongeza asali au limao au vyote. Mbali na kuongeza  ladha, asali na limao vina faida kiafya.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!