Pages

Wednesday 17 April 2013

JUST IN-MWIMBAJI MKONGWE BI KIDUDE AFARIKI


Habari tulizozipata sasa hivi kutoka East Africa Radio ni kwamba mwimbaji mkongwe Bi Kidude amefariki.Kwa habari zaidi stay tuned.Apumzike kwa amani Bi Kidude





No comments:

Post a Comment