Saturday 27 January 2018
Friday 26 January 2018
Thursday 25 January 2018
Mwanafunzi abakwa na kuuawa akienda shule
MWANAFUNZI wa kike mwenye umri wa miaka 14 ameuawa kikatili baada ya kubakwa kwa zamu na mwendesha pikipiki maarufu ‘bodaboda’ kisha akachomwa kisu ubavuni na sehemu zake za siri kunyofolewa wakati akienda shule akiwa amefuatana na mdogo wake wa kiume mwenye umri wa miaka 11.
Wednesday 24 January 2018
Rais wa Rwanda Kagame ndiye kiongozi wa pekee Afrika atakayekutana na Donald Trump Davos
Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame katika mkutano wa masuala ya kiuchumi World Economic Forum WEF unaofanyika mjini Davos , Uswizi.
Watoto 15 wenye matatizo ya moyo wafanyiwa upasuaji wa bila kufungua kifua
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s Heart-SACH) ya nchini Israel na Kituo cha Moyo cha Berlin (Berlin Heart Center) cha nchini Ujerumani wamefanya upasuaji wa bila kufungua kifua (Catheterization) kwa watoto 15 wenye matatizo ya Moyo.
MARY J. BLIGE: FROM HEARTBREAK AND HOMELESS TO HISTORY MAKER!
Mary J. Blige is the true definition of the term “glow up.” She exemplifies having to go through the bitterness of life to enjoy the sweet.
Tuesday 23 January 2018
Diamond kujenga kiwanda Rwanda
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ wa Tanzania, anakusudia kuwekeza nchini Rwanda kwa kujenga kiwanda cha karanga nchini humo.
Monday 22 January 2018
Salum Njwete “SCORPION” ahukumiwa Jela miaka 7
January 22, 2018 kwenye Mahakama ya Wilaya ya Ilala imetolewa hukumu ya Salum Njwete maarufu kama ‘SCORPION’ ambae amehukumiwa miaka 7 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumjeruhi na kumsababishia upofu Said Mrisho.
Sunday 21 January 2018
BINTI MWENYE UVIMBE BEGANI AFARIKI DUNIA AKITIBIWA
Maria Amrima Sandalu (17) mkazi wa Mtwara, aliyekuwa na uvimbe begani amefariki dunia akipatiwa matibabu Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI). Mariam ambaye ni mkazi wa Masasi mkoani Mtwara, amefariki dunia leo alfajiri akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI).
Ndoa ndoano!
Ameandika Joyce Kiria kwenye ukurasa wake wa Instagram..👇
Sikutegemea kama ipo siku kwa mkono wako ungeunyanya KUNIPIGA @kilewo2020mwanga 😭😭😭😭 *
Ukasahau kabisa! Ukasahau yooooote.. nimeharibu career yangu kupigania ndoto yako kwa kugawa watu wangu kwenye biashara zangu, nimepoteza ndugu jamaa na marafiki, umeniachia nimebeba mzigo wa familia kwa muda wote... Malipo yako ni KUNIPIGA/ KUNIDHALILISHA/ KUNITOA MACHOZI😭😭😭
Ukasahau kabisa! Ukasahau yooooote.. nimeharibu career yangu kupigania ndoto yako kwa kugawa watu wangu kwenye biashara zangu, nimepoteza ndugu jamaa na marafiki, umeniachia nimebeba mzigo wa familia kwa muda wote... Malipo yako ni KUNIPIGA/ KUNIDHALILISHA/ KUNITOA MACHOZI😭😭😭
Serikali yazifutia usajili meli 2 zilizonaswa na dawa za kulevya
BAADA ya agizo la Rais John Magufuli la kusisitiza marufuku ya michango shuleni, wakuu wa mikoa na wilaya nchini wamecharuka na kuwataka maofi sa wa elimu kuchukua hatua dhidi ya walimu walioukiuka agizo hilo.
Subscribe to:
Posts (Atom)