Wednesday 21 February 2018

RAIS DKT MAGUFULI AONDOKA DAR ES SALAAM KWENDA KAMPALA NCHINI UGANDA

RaisDk John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo kabla ya kupanda ndege kwenda nchini Uganda kushiriki Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika jijini Kampala nchini humo. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!