Saturday 22 July 2017

TAWLA YATOA MAFUNZO YA JINSI YA KUSHUGHULIKIA WATOTO WALIO KATIKA UKINZANI NA SHERIA


Mrakibu wa Polisi Mkoani Tanga (SP),Bahati Ngoli akifungua mafunzo ya jinsi ya kushughulika na watoto walio katika ukinzani na Sheria leo ulioandaliwa na chama cha wanasheria wanawake Tanzania (Tawla) Mkoani Tanga kwenye ukumbi wa Hotel ya Nyumbani mjini Tanga


 Mratibu wa Chama cha Wanasheria wanawake Tanzania Mkoani Tanga (Tawla) Latifa Ayoub akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo leo
Juma Abdallah kutoka Tawla Mkoani wa Tanga akitoa mada kuhusu wajibu wa familia na jamii kuzuia uhalifu wa watoto
 Mwanasheria wa Chama cha Wanasheria wanawake Tanzania Mkoani Tanga,Adolphina Mbekinga akizungumza wakati akiwasilisha mada ya mfumo wa haki jinai kwa watoto Tanzania na Taratibu zake (2&3)
Mratibu wa dawati la Jinsia na watoto Mkoa wa Tanga akizungumza katika mafunzo hayo
Mkuu wa kituo cha Polisi Chumbangeni Mkoani Tanga, Mrakibu Msaidizi wa Polisi,ASP Saidi Mwagara akifuatilia taarifa mbalimbali wakati wa mafunzo hayo.
 Mrakibu wa Polisi Mkoani Tanga (SP),Bahati Ngoli kushoto akichuchukua mada mbalimbali
 Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wa pili kutoka kushoto ni Mkuu wa Polisi wilaya ya Tanga (OCD) akifuatiwa na Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi hilo(SSP) Emanuel Minja
Mratibu wa Chama cha Wanasheria wanawake Tanzania Mkoani Tanga (Tawla) Latifa Ayoub kulia akifutilia masuala mbalimbali kwenye semina hiyo
 Mrakibu wa Polisi Mkoani Tanga (SP),Bahati Ngoli akifuatilia kulia ni Hakimu Mkazi Mfawidhi Aziza Lutalla

 Mkuu wa kituo cha Polisi Chumbageni Mkoani Tanga,Saidi Mwagara kushoto ni Mwendesha Mashtaka wilaya ya Handeni,Selemani Kawambwa wakifuatilia mafunzo hayo
Hakimu Mkazi Hilda Lyatuu kulia katikati ni Wakili wa Serikali Rebecca Msalangi wakifuatilia mada mbalimbali kwenye semina hiyo,Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!