Friday 11 November 2016

Wabunge walivyoshiriki kuaga mwili wa mbunge Hafidh Tahir


Mbunge wa jimbo la Dimani (CCM) Zanzibar Hafidh Ali Tahir amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitalini Dodoma na kisha mwili wake kuagwa kwa kupewa heshima ya bunge asubuhi ambapo viongozi mbalimbali wa serikali na bunge walishiriki kabla ya kuusafirisha kwenda Zanzibar, unaweza kutazama kwenye hii video hapa chini

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!