Friday 11 November 2016

MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI ARUHUSIWA KUTOKA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI ALIPOKUWA AMELAZWA

Mke wa Rais, Mama Janet Magufuli leo ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa baada ya kupata nafuu.
- Aidha Mama Janet Magufuli kabla ya kuondoka katika Wodi ya Sewahaji alipokuwa amelazwa aliwashukuru Madaktari, Wauguzi na Wafanyakazi wote kwa huduma nzuri walizompatia.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!