Saturday 27 September 2014

NYANGUMI MWINGINE AONEKANA UFUKWENI PEMBA



Wafanyakazi wa Uvuvi pemba wakimpima Nyangumi aliyeonekana Pemba akiwa ameanguka ufukwe wa bahari wa shamiani.

WEMA NINI TENA?


1195 likes
20 comments

MSAFIRI KAFIRI" ADHA YA USAFIRI TEMEKE HIYO!

MWANAMKE APIGWA MAWE HADI KUFA KWA KOSA LA KUFANYA MAPENZI NJE YA NDOA-SOMALIA

Mwanamke mmoja ameuawa kwa kupigwa mawe nchini Somalia na kundi la wanamgambo wa Al Shabaab.

ISRAEL VIBRATIONS BENDI AMBAYO WAIMABAJI WAKE WOTE NI WALEMAVU WA VIUNGO WANAKUJIA NA MIONDOKO YA REGAE!!

TUTAKUTANA MTAANI" WARIOBA

Warioba: Tutakutana mtaani

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilikoya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametabiri kampeni za uchaguzi mkuu ujao kutawaliwa na ajenda ya Katiba mpya ambayo kwa mujibu wake, inaweza kugawa nchi. Jaji Warioba ambaye ni Waziri Mkuu mstaafu, ameeleza wasiwasi wa rasimu inayopendekezwa kwamba haitapigiwa kura mwaka 2016 badala yake, mchakato wa katiba utaanza upya.

AONAVYO KIPANYA LEO!

CHANZO CHA MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO ( UTI) TIBA ATHARI NA KINGA YAKE

Maambukizi Katika Njia ya Mkojo (UTI) ni moja kati ya magonjwa ambayo hayapewi msisitizo wa kutosha katika jamii licha ya kuwa wengi huathirika kwa ugonjwa huu bila kujua chanzo, tiba na kinga yake.

MITINDO YA VITENGE KWA WANAWAKE NA WANAUME!


moonlook10

BASI NJOO KARIAKOO!!

STYLE ZA NYWELE KWA WATOTO!!




AKON NA TRACE TV WAANZISHA SHINDANO LA MUZIKI NCHI 13 KUSHIRIKI IKIWEMO TANZANIA




Kampuni ya simu ya Airtel ikishirikiana na kituo cha runinga cha Trace na muimbaji wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon wameanzisha shindano la kusaka vipaji vya kuimba barani Afrika.

KWA WATANZANIA MLIOKO NJE HABARI NJEMA!


You can now watch Tanzania TV Stations, radio, documentaries, Movies online on www.tanzaniabox.com

HAPO NAPO -KWA RAHA ZAKE!!

MASHARTI YA KUOA CHINA- CHANGIA DAMU NDIPO UOE!

Ajali za barabarani duniani hutokea kila uchao, na wahitaji wa damu wanazidi kuongezeka huku idadi ya wachangia damu nayo ikizidi kushuka siku hadi siku na kuleta hatari kwa maisha ya wahitaji.

RAIS KIKWETE ATEMBELEA STUDIO ZA CNN MJINI NEW YORK

President Jakaya Mrisho Kikwete chats with  Cable News Network (CNN) ‘s Richard Quest and Maggie Lake when he visited  CNN Studios at the  Time Warner Cente in New York.  

RATIBA YA MECHI ZA UINGEREZA ZITAKAZOCHEZWA LEO JUMAMOSI





MNAZIKUMBUKA HIZI?

MAPISHI YA LEO!

WANAWAKE JITOKEZENI KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI"

CM1aDiwani wa Kata ya Kipawa Mhe. Bona Kaluwa akifafanua jambo kwa wajumbe wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Shina la Pamba jijini Dar es Salaam, mapema jana wakati alipokuwa mgeni rasmi katika kutambulisha jumuiya hiyo.Shina hilo lipo katika Kata ya Kivukoni , Manispaa ya Ilala.

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI 27 SEPT 2014

.


Friday 26 September 2014

VAZI LA LEO!

CHAKULA BORA KWA MTOTO WA MWAKA MMOJA NA ZAIDI

014







ONA VILE NAKATIKA!!

WAWAKILISHI WA TANZANIA KWENYE JUMBA LA BIG BROTHER

Mara baada ya kuungua kwa jengo la Big Brother nchi South Africa na kuhairishwa kwa mashindano hayo na inasemekana kuwa yatafanyika nchi Uingereza na siyo South Africa kama kawaida yake.
 Big mwenyewe aanza kutangaza majina ya washiriki katika jumba hilona alianza na washiriki kutoka nchini Uganda na hatimaye nchini Tanzania.


IDRIS SULTAN na IREN EVEDA ndiyo wawakilishi rasmi wa Tanzania katika jumba la Big Brother mwaka huu.

VIA-BLOG YA WANANCHI

NUH MZIWANDA

Bondia Floyd "Money" Mayweather 'ametupia' picha hii kwenye Instagram na kuwataka mashabiki wake "kuipa kichwa cha habari"

HIVI ADHABU YA VIBOKO MASHULENI NI SAWA? BINAFSI NAPINGA HII KITU HUU NI UNYANYASAJI WA HALI YA JUU, INAFAA UKOMESHWE!

HII IMENISIKITISHA SANA! SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI.

DSC_0519Shuhuda aliyenusurika kwenye mauaji ya Albino ambaye amekatwa mikono yote miwili, Mariam Stanford akitoa ushuhuda wake na killio chake mbele ya meza na wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya kimataifa ya amani iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mnazi mmoja.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

VUNJAMBAVU!

WANAWAKE LIVE! BINTI ALIYEBAKWA NA KUPATA UJAUZITO!!

INAKISIWA ZAIDI YA RAIA 3000 KUTOKA ULAYA NI WAFUASI WA ISLAMIC STATE


Inakisiwa kuwa zaidi ya raia 3000 kutoka Ulaya ni wafuasi wa Islamic State

JIPATIE LAPTOP KWA BEI NAFUU PIGA SIMU +255 718 372227




Cheapest mini laptops just for 230000/=
Pls contact +255 718 372227.

MITINDO YA VITENGE WADAU!!


My Name is Peeks Come say Hi at  http://zanjoo.com/. #Africanfashion #AfricanClothing #Africanprints #Ethnicprints #Africangirls #africanTradition #BeautifulAfricanGirls #AfricanStyle #AfricanBeads #Gele #Kente #Ankara #Nigerianfashion #Ghanaianfashion #Kenyanfashion #Burundifashion #senegalesefashion #Swahilifashion DK

BANGLES & BRACELETS



WAAGA MASHINDANO BAADA YA KUAMBIWA KUVUA HIJAB

Timu ya wanawake ya Qatar ya mchezo wa mpira wa kikapu imejiondoa kutoka mashindo ya bara Asia

Black Woman Beat by California Cop Wins $1.5 Million Settlement

Marlene Pinnock, an African-American woman who was beat by a California cop, has won a $1.5 million lawsuit and the officer will be resigning. Pinnock will receive the money under a settlement reached Wednesday, CBS News reports. 

ASKOFU: WATANZANIA WATACHUKUA URAIA KWINGINE"


ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Mhashamu Method Kilaini amesema kukataa uraia pacha ni sawa na kukubali kupoteza watoto na nchi kubaki kama kisiwa wakati nchi nyingine zinafanya hivyo, jambo ambalo Watanzania wengi watakimbilia uraia wa nchi nyingine.

MISUKO YA NYWELE!




HAPO NAPO!!

JK AAHIDI SHERIA YA HABARI FEBRUARI 2015


TANZANIA inatarajiwa kupata Sheria ya Uhuru wa kupata Habari ifikapo Februari, mwakani. Rais Jakaya Kikwete alisema hayo jana alipokuwa mmoja wa wazungumzaji katika mkutano unaohusu Uwazi na Ushirikiano kati ya Serikali na Jamii.

HAKI ARDHI: MFUMO WA ARDHI UNAINGILIWA NA WANASIASA

Mkurugenzi Mtendaji HakiArdhi, Yefred Myenzi
TAASISI ya HakiArdhi imesema kuwa mfumo wa ardhi nchini unakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo wanasiasa kuingilia utendaji na maamuzi yaliyofanywa na wataalam kwa ajili ya kulinda maslai yao ya kisiasa.

TAASISI YA VOTER’S VOICE ORGANIZATION (SAUTI YA MPIGA KURA) YAZINDULIWA RASMI DAR ES SALAAM LEO.

 Steven Mwasomola Mkurugenzi Mkuu wa Voter’s Voice Organization.

MAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS WA UN WA KUWAJENGEA UWEZO WANAWAKE NA WASICHANA KIFEDHA


MAGAZETI YA LEO IJUMAA 26 SEPT 2014

.

Thursday 25 September 2014

VUNJA MBAVU!

TUWAKUMBUKE!!

CYPRUS KUWAOKOA WATU 300 BAHARINI

Mamia ya wakimbizi wamekuwa wakifunga safari kutoka Afrika wakiabiri vyombo hafifu mno

KANYAGIO!!




MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KATIKA CHUO KIKUU CHA SAINT AUGUSTINE MWAKA WA MASOMO 2014/2015 HAPA



Video: Wanafunzi wa Kiswahili chuo kikuu cha Florida,Marekani na project ya wimbo wa Diamond

https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/s720x720/10616496_802768729744943_4488760376066454047_n.jpg?oh=164c5dec35bb5cb5ce439131dccabbdc&oe=54C1B9FE&__gda__=1418018585_23c541fb55321563955d23c2b97fcba5

Hii ni video ya wanafunzi wa awali wa lugha ya Kiswahili walioshiriki kwenye mradi wa mwaka 2014 uitwao African Language Initiative (AFLI) katika chuo kikuu cha, Gainesville, Florida nchini Marekani. Wakijifunza lugha hiyo kwa miezi sita, waliamua kutengeneza filamu hii fupi kama kumbukumbu ya muda mzuri waliokuwa nao kwenye mradi huo ulioongozwa na Wakenya, Filipo 

MBU KUPAMBANA NA HOMA YA DENGUE

Watafiti wanaamini kuwa Mbu hao wenye viini watapambana na homa ya Dengue

.

STYLE ZA NYWELE!!





DIAMOND WA JANA!

AJIRA !THE TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY, (TCAA) MWISHO WA KUTUMA MAOMBI 15/10 2014




THE TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY, (TCAA)
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

LADY GAGA NA KIATU CHA ZAIDI YA 9-INCH ONA KAZI HIYO!!


Katika watu wasionitia tamaa kuhusu uvaaji huyu mama namba moja, hanivutiagi hata avae nini!

MADE IN TANZANIA



JINSI YA KUVAA KIOFISI NA PIA UONEKANE "POSH"!

Style 3: @jojocharry-Corporate Drapes #17: Glam Work Look on kamdora.com


WADAU WASAIDIE WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI(ALBINO) KUPATA MATIBABU YA SARATANI YA NGOZI

WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), wamekuwa wakisumbuliwa na maradhi ya ngozi hususan saratani ya ngozi.

RAIS KIKWETE AWA SAUTI YA AFRIKA UN



MABADILIKO ya tabia nchi duniani yanahatarisha uhai na maendeleo ya binadamu, ikiwemo kurudisha nyuma au kufuta kabisa maendeleo ya kiuchumi na kijamii yaliyokwishapatikana.

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!