Saturday 25 January 2014

WEEKEND NJEMA WADAU WA SOPHIEMBEYU BLOG, TUKUTANE HUMU HUMU!

CONCERN AS LIVER DISEASE CASES RISE



GASTROLOGICAL and digestion medical practitioners in the country are increasingly worried following the rising cases of people suffering from liver cancer brought about by Hepatitis B, C and Cirrhosis or liver shrinking.
Speaking exclusively to the ‘Daily News on Saturday,’ the Muhimbili National Hospital -based East Africa Gastroenterology and Digestive Oncology Training Centre Head, Dr John Rwegasha said that prolonged alcohol use and to some extent the wrong nutrition were other causes of liver complications.

AJALI MBAYA YATOKEA MKOANI KILIMANJARO


Ajali ya kutisha yatokea maeneo ya KIA jirani na kampuni ya kusaga kokoto ya konoike au njia panda ya kwenda uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport watu zaidi ya 67 wote wamejeruhiwa vibaya japo hakuna aliye fia hapo ila hali zao ni mbaya hasa madereva na
makonda wote.

Ni baada ya Semi kugonga gari la kampuni ya LM Fusso

KWA HISANI YA MASAI NYOTAMBOFU...

NIMEJENGA NASOMESHA KWA KAZI YA KUKAANGA SAMAKI FERI...

 Dotto akiwa katika shughuli zake za kukaanga samaki


Ni eneo ambalo limetanda moshi mzito ukiambatana na moshi wa sigara, kutoka kwa baadhi ya wanaofanya kazi kwenye eneo hilo.
Napata shauku ya kufahamu ni kwa namna gani binadamu anaweza kukaa kwenye moshi kama huo, anapata nini hadi anahamasika kukaa humo.

WAZIRI MKUU AWAASA WANACHI KUTUNZA MIUNDO MBINU YA MRADI WA GESI NCHINI.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na mafundi wanaojenga bomba la mradi wa gasi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam wakati wa ziara ya kukagua mradi huo.
(Picha zote na Eleuteri Mangi – MAELEZO-Mtwara)

NAFASI MPYA ZA KAZI SERIKALINI MWISHO TAREHE 6/2/2014

NAFASI MPYA ZA KAZI SERIKALINI MWISHO TAREHE 6/2/2014

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref. Na EA.7/96/01/E/32 23rd January, 2014
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of the Centre for Agricultural Mechanization and Rural Technology (CAMARTEC), Cashewnut Board of Tanzania, Tanzania Commission for Aids (TACAIDS), Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI), Institute of Accountancy Arusha (IAA) Tanzania Institute Of Accountancy (TIA), The Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA), Forestry Training Institute (FTI), Olmotonyi, Tanzania Coffee Board, Tanzania Industrial Research And Development Organization (TIRDO), Institute of Adult Education, Ardhi Institute Morogoro Ardhi Institute Tabora and Tanzania Smallholders Tea Development Agency. The Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 51 vacant posts in the above Public Institutions.
NB: GENERAL CONDITIONS

YALIYOMO KWENYE MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI 25 JANUARY 2014

.

.

JOYCE KIRIA: WANAWAKE WA TANZANIA TUKIMBILIE WAPI?


Tukio hili limetokea kama wiki moja iliyopita, huko wilaya ya BUKOMBE mkoani GEITA.
Tukio hili liliripotiwa na RFA. Ni matukio yanayotokea mara kawa mara, wahanga wakubwa (watendwa) ni WANAWAKE.

Cha ajabu hakuna juhudi za makusudi za kutokomeza vitendo hivi. Wanawake tusimame pamoja kusema inatosha kwa unyama huu mkubwa tunaofanyiwa!

Poleni kwa picha hii mbaya sana, lakini tafakari maumivu aliyopata huyu mwanamke maskini ya Mungu...

Natamani hamasa ya kutokomeza ukatili ingefanyika kwa chopa kama....... Malizia mwenyewe!


ONYO Picha iliyopo kwenye soma zaidi inaleta usumbufu tunaomba radhi kwa picha hiyo na kama una roho ndogo tafadhali usiangalie na usiifungue picha hii mbele ya watoto.

Friday 24 January 2014

VITA UISIKIE KWA JIRANI! KWA WASIOJUA ATHARI ZA VITA ANGALIA HII.....


The little lad is completely buried beneath rock and dust as the eight-minute video begins

A toddler is plucked ALIVE from underneath rubble in remarkable new footage to emerge from Syria tonight.
The little lad is completely buried beneath rock and dust as the eight-minute video begins.

VUNJA MBAVU!

TANESKO ISIHANGAIKE, HAWA JAMAA WANATUFAA

JAMANI HIVI MKIONGEA KISWAHILI INAKUWAJE? PENNY NDANI YA BONGO5 AKIONGELEA KUHUSU MAISHA YAKE!



MITINDO YA VITENGE!

vlisco #AfricaFashionLongDress #AfricanPrints #ankara #AfricanStyle #AfricanInspired #StyleAfrica #AfricanBeauty #AfricanFashion #AfricaInFashion

NILIWAHI KUOSHA SIKU ZA NYUMA- JAYDEE

KWELI SIKU YAKO IKIFIKA IMEFIKA! DEREVA WA LORI ATUMBUKIA KATIKA DARAJA LA DUMILA!

VIDEO KWA HISANI YA LUKAZA BLOG

MAWAZIRI WA FEDHA WA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR WAKUBALIANA KUONGEZA USHIRIKIANO KATIKA UTENDAJI WA KAZI

DSC_0004Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya akiwa pamoja na Waziri wa Fedha wa Zanzibar Omar Yussuf Mzee wakiingia katika Ukumbi wa Mkutano huko katika Hoteli ya Serena Inn Shangani Mjini Zani
NA RAMADHAN ALI/MAELEZO ZANZIBAR 

WAJIPANGA KUPUNGUZA VIFO VYA WANAWAKE NA WATOTO


Mkoa wa Mara umeanza kuchukua hatua mbalimbali za kupambana na ongezeko la vifo vya wanawake wajawazito na watoto wachanga.Mkakati huo unaambatana na kuanzisha mpango maalum wa ujenzi wa vituo vya afya ili kusogeza huduma kwa jamii.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA 27 JANUARY 2014

.


Thursday 23 January 2014

MAJINA YA WALIOFUZU TAKUKURU( PCCB) APTITUDE TEST RESULTS AND CALL FOR INTERVIEW



1. APTITUDE TEST  RESULTS  Click here to download in PDF
 2. CALL FOR INTERVIEW  Click here to download in PDF

First picture of jealous student who threw acid in face of Victoria Secret worker in "evil, barbaric" attack

Mary Konye disguised herself in a Muslim veil before hurling sulphuric acid in friend Naomi Oni's face in a horrific Katie Piper copycat attack
Guilty: Jealous pal Mary Konye
Guilty: Jealous pal Mary Konye
PA
This is the jealous student who hurled acid in her friend's face in a Katie Piper copycat attack.
Mary Konye, 21, attacked pal Naomi Oni while disguised in a Muslim veil.
Naomi, 21, was left scarred for life following the horrific assault in Dagenham, east London, on December 30, 2012.
London's Snaresbrook Crown Court heard that Konye attacked the Victoria Secret worker because she once called her 'ugly'.
Following the attack, Konye pretended to give Ms Oni a shoulder to cry on.
Mary Konye court case
Scarred for life: Naomi Oni was doused in sulphuric acid

Picha Kutoka Ubalozi wa Uingereza Nchini Tanzania:Ile Ziara ya Kifimbo Cha Malkia wa Uingereza Kilipotembelea Jiji la Dar es Salaam na Zanzibar.

  Queens Baton raced in streets of Dar es Salaam
 HE British High Commissioner Dianna Melrose hands over Queens Baton to Dr Jama Gulaid Country Representative UNICEF Tanzania

WAZIRI MKUU MSTAAFU SUMAYE ATEMBELEA CLOUDS MEDIA GROUP LEO

 Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,Ruge Mutahaba akimkaribisha Waziri Mkuu Mstaafu,Mh.Frederick Sumaye alipowasili mapema leo kwenye makao makuu ya ofisi hizo zilizopo Mikocheni jijini Dar,pichani kati anaeshuhudia ni Ofisa Mahusiano wa Clouds Media Group,Simon Simalenga.

KIPINDI CHA THE MBONI SHOW CHAWAALIKA WASANII WA FILAMU NCHINI STEVE NYERERE NA ELIZABETH MICHAEL "LULU" WALIO CHINI YA KAMPUNI YA PROIN PROMOTIONS LIMITED

 Msanii wa Maigizo Tanzania Steve Mongere aka Steve Nyerere akisalimiana na Mwendesha Kipindi cha The Mboni Show , Mboni Masimba (Wa Kwanza kushoto) mara baada ya kuwasili ndani ya mjengo ambapo kipindi hiko hurekodiwa Pembeni ni Msanii nguli wa Filamu Tanzania Elizabeth Michael "Lulu" akifuatiwa na Meneja Masoko wa Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ni watengenezaji, wauzaji na wasambazaji wa Filamu za Kitanzania Nchini.

PICHA ZA DARAJA LA DUMILA LILILOHARIBIKA KUTOKANA NA MVUA KUBWA ILIYONYESHA

Daraja la Dumila wilayani Mvomero, Morogoro likiwa limekatika baada ya kunyesha mvua kubwa.

HARUSI ZETU NA MITAZAMO TOFAUTI!!

HALI YA MWIGIZAJI MKONGWE BLANDINA CHAGULA(JOHARI) SI NZURI AMELAZWA HOSPITALI

Mwana Dada na mwigizaji mkongwe Blandina Chagula maarufu Johari ni mgonjwa na amelazwa katika moja ya hospitali maarufu hapa jijini.

ANA UMRI WA MIAKA 12 AOLEWA KWA NG'OMBE 15

 
Mtoto huyo ambaye jina lake tumelihifadhi kutokana na sababu za kimaadili, hajui kiswahili  vizuri, hivyo nalazimika kumuomba mtoto mwenzake, Stela Paulo aje anisaidie kuongea naye.

USTAARABU UNAPOKUWA ZERO!

MAFURIKO YAIKUMBA DUMILA KILOSA MAMIA WAATHIRIKA NA DARAJA KUVUNJIKA

Wananchi wa Dumila mkoani Morogoro wakitumia uzoefu wao wa kuogelea kujinusuru na mafuriko yaliyotokea jana na kuhatarisha maisha ya watu wengi ikiwa ni pamoja na kuharibu madaraja.

HUYU NI WAKUFUNGWA TU !SANGOMA ANASWA KWA WIZI WA WATOTO!

MGANGA wa kienyeji ‘Sangoma’aitwaye Ramadhani Issa (20) amedaiwa kuwatorosha watoto wawili, Salim Swalehe(13) na Laurent Oscar (13) wanaosoma katika Shule ya Msingi ya Pamba jijini hapa.
Sangoma Ramadhani Issa (20) akiwa chini ya ulinzi baada ya kunaswa.
Tukio hilo limetokea Januari 20, mwaka huu katika kitongoji cha Ujaluoni, Igogo jijini hapa baada ya watoto hao kutoonekana kwa mwezi mzima tangu Desemba 27, mwaka jana.
Inadaiwa kwamba watoto hao walirudi makwao kwa njia za ajabu na kusema walikuwa wamewekwa ndani kama misukule  nyumbani kwa mganga huyo.

MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI MPANGO MPYA WA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI TOKA KWA MAMA KWENDA KWA MTOTO


MAGAZETI YA LEO ALHAMIS 23 JANUARY 2014

.

TAARIFA KAMILI NA PICHA ZA AJALIILIYOUA WANAFUNZI WATANO MTWARA

IMG-20140122-WA0006Wanafunzi watano wa shule ya sekondari Mustafa Sabodo iliyopo nje kidogo ya mji wa Mtwara wamefariki Dunia na wengine 47 kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari wakati  wakikimbia mchakamchaka mapema leo asubuhi.
Taarifa inasema kuwa gari hilo lenye namba za usajili T174 AED aina ya Mercides Benz lilikuwa likiendeshwa na Dereva Baraka Mgwegwe ambapo likiwa kwenye mwendo kasi liliacha njia na kuwagonga wanafunzi hao ambao walikuwa kandokando ya barabara wakikimbia mchakamchaka kurejea shuleni.

Wednesday 22 January 2014

Mjukuu wa Mandela ashitakiwa kwa kosa kumuonyeshea mtu silaha

 Mjukuu waRais wa zamaniwa Afrika KusiniNelson Mandelaameshitakiwa kwa kosa la kumtishia mtu silaha ya motomwezi uliopita,amesema mwendesha mashtaka Afrika ya kusini.
 
Mandla Mandela ni mshitakiwa wa kutishia silaha baada ya mtu huyo kugonga gari lililokuwa likiendeshwa  na moja ya wageni wa Mandela mwezi Oktoba,.

Mandela alionekana katika mahakama ya hakimu, Mthatha, na kesi yake iliahirishwa hadi Februari 24.
 
NA DJ FETTY BLOG

SNURA NA TUHUMA NZITO MBONA MAJANGA!!!!

 
Snura Mushi.

Taarifa Rasmi Kwa Umma Kutoka IKULU:Rasimu ya Katibu Mpya Kuchapwa kwenye Gazeti la Serikali litakalotolewa Ijumaa, tarehe 24 Januari 2014.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue
--  UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
 DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
 
Kifungu 20 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83, Toleo la 2013 inamtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuchapisha kwenye Gazeti la Serikali Rasimu ya Katiba ndani ya siku thelathini (30) baada ya kukabidhiwa rasimu hiyo na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue inaeleza kwamba, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, alikabidhiwa Rasimu ya Katiba tarehe 30 Desemba, 2013, na ataichapisha kwenye Gazeti la Serikali litakalotolewa Ijumaa, tarehe 24 Januari 2014.

Aidha, kifungu 22 (1) (c) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83, Toleo la 2013, kinampa madaraka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushauriana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kuteua wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka miongoni mwa majina yanayopendekezwa kwao na makundi yaliyotajwa ndani ya Sheria hiyo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anakusudia kukamilisha uteuzi wa Wajumbe hao baada ya kushauriana na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, mwanzoni mwa wiki ijayo na majina hayo kuchapishwa kwenye Gazeti la Serikali kama kifungu 22 (3) cha Sheria iliyotajwa inavyomtaka kufanya.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
22 Januari, 2014

Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ yazidi kuwapa watanzania wengi faraja

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Bw. Jackson Mmbando (kulia) akisisitiza jambo wakati akiwatangaza washindi wa droo ya wiki ya tisa ya promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa iliyochezeshwa jana na kuwapata washindi wa pesa taslimu ya zaidi ya Shilingi milioni 22 na kumpata Edwin Edmund Kajimbo kutoka Iringa aliyejishindia tiketi mbili ya safari iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda kuangalia mechi ya ligi kuu ya Uingereza moja kwa moja ‘live’ kwenye uwanja wa Old Trafford. Kushoto ni Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha Tanzania Mrisho Millao.

ONA HAKA KABABY FACE! ENZI HIZOOO!

PRESIDENT MUSEVENI ADDRESSES EALA PLENARY IN KAMPALA

Kampala, Uganda: President Yoweri Museveni has today addressed the 4th Meeting of the 2nd Session of the 3rd East African Legislative Assembly in Kampala, Uganda.

ULIYAJUA? TANZANIA YETU NDANI YA RAMANI!! MUNGU IBARIKI TANZANIA...

HAPO NAPO SASA! WANASEMA HUU NI MZIGO KWA TAIFA!!!

HATIMAYE SAFARI YA KUMRUDISHA MAMA ALIYEJIFUNGUA WATOTO WA NNE NYUMBANI KWAO IMEANZA, IKIONGOZWA NA TIMU YA MBEYA YETU BLOG.

 Mama wa watoto wa Nne wa tatu kutoka kushoto akiwa pamoja na wauguzi ambao wamebeba watoto wakimuaga katika Hospitali ya Meta Jijini Mbeya mapema asubuhi ya leo.

WEMA SEPETU " IN MY SHOES" EPISODE 12

UMEONA HII DHARAU? MWANAMKE WA RUSSIA HIKI NI KITI CHENYE UMBO LA MWANAMKE WA KIAFRIKA..

Russian Socialite ambae ni muhariri wa jarida la Garage magazine, Dasha Zhukova akiwa pia ni patner wa mmiliki wa club ya Chelsea Roman Abramovich, ameingia kwenye maporomoko ya matusi na maoni mengine mazito ya watu mbalimbali mtandaoni baada ya kusambaa kwa picha inayomuonyesha akiwa
amekaa kwenye kiti kilichotengenezwa kwa mfano wa Mwanamke wa Kiafrika.
Mwanamke huyu ambae anasema ana mapenzi na fashion pamoja na usanii wa vitu kama hivi amekosolewa na wengi ambapo baadhi ya Wanawake hata wenye ngozi kama ya Dasha, wamemkosoa huku wengine wakiuliza ‘bado tunafanya vitu hivi mpaka huu mwaka wa 2014?’

DIAMOND AANZA KUTIMIZA AHADI YAKE YA KUWASOMESHA WATOTO WALIOSHINDA KUCHEZA NGOLOLO! IKIWA NI PAMO



MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA MAJADILIANO YA WADAU KUHUSU KUTOKOMEZA MAAMBUKIZI YA VVU TOKA KWA MAMA KWENDA KWA MTOTO.

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifuatana na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid (kulia) na Mheshimiwa Mama Zakhia Meghji, Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya WAMA, (kushoto), wakielekea kwenye chumba cha mkutano.

MBUNGE WA CHALINZE (CCM) MH. SAID BWANAMDOGO AFARIKI DUNIA.

Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Ofisi ya Bunge inaendelea na Taratibu za mazishi/maziko baada ya kuwasiliana na ndgu wa marehemu..

MAGAZETI YA LEO JUMATANO 22 JANUARY 2014

.
 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!