Wednesday 17 December 2014

TANZIA: ALIYEKUWA MNENGUAJI WA MUZIKI WA BENDI YA TWANGA AISHA MADINDA AFARIKI DUNIA



Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hicho na kuongeza kuwa mwili wa marehemu kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar

Aisha madinda ambae jina lake halisi ni Aisha Mbegu alizaliwa mwaka 1980 katika  Hospitali ya Ocean Road jijini Dar na alipata umaarufu mkuwa kwa uhodari wake wakucheza muziki alipokuwa kwenye  Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’.
Vile vile Aisha aliwahi kuingia kwenye tasinia hii ya filamu na kuweza kuigiza filamu akiwana watu kama aliekuwa muimbaji TX Moshi William (Marehemu)  pamoja na mcheza soka Boniphace Pawasa.
Taarifa zaidi juu ya msiba huu tutaendelea kukujuza kadri tuzipatapo.
Pole ziende kwa ndugu na jamaa na wote walioguswa na msiba huu.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahari pema pemoni AMEN.

CRD: BONGOMOVIE

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!