Watu 9 wamekufa na wengine 2 wamejeruhiwa baada ya basi dogo la abiria Toyota Hiace kugongana uso kwa uso na lori mafuta katika eneo la Usa River, Arusha
Imetokea ajali mbaya eneo la Tengeru kuelekea Usa, kati ya lory na gari dogo la abiria (hiace) watu kadha wamefariki na majeruhi ni wengi.
Picha ndio hizo hapo
Source; RADIO ONE STEREO
Tren yaangusha behewa maeneo ya vingunguti reli imeharibika vibaya ffu wameshafika eneo la tukio watu wanakula bakora mtindo mmoja hatakiwi MTU eneo hilo kulikua na kontena za mohamed
enterprises na Azam. Angalia Picha. CHANZO NI KUKATIKA KWA PINI LOCK AMBAYO IKASABABISHA JANGA HILO.
No comments:
Post a Comment