skip to main |
skip to sidebar
P-FUNK ATEMBELEA KABURI LA MANGWAIR..
P.FUNK ATEMBELEA KABURI LA NGWEA
P-Funk Majani ameongoza msafara wa watu mbalimbali mashuhuri kwenda Morogoro kuadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha Albert Mangwair. Tazama picha hizi za producer huyo akiwa na watu wengine kwenye kaburi la Ngwair.
No comments:
Post a Comment