Thursday 29 May 2014

P-FUNK ATEMBELEA KABURI LA MANGWAIR..

P.FUNK ATEMBELEA KABURI LA NGWEA

P-FUNK MAJANI
P-Funk Majani ameongoza msafara wa watu mbalimbali mashuhuri kwenda Morogoro kuadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha Albert Mangwair. Tazama picha hizi za producer huyo akiwa na watu wengine kwenye kaburi la Ngwair.

P-FUNK MAJANI

P-FUNK MAJANI

P-FUNK MAJANI

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!