Thursday 29 May 2014

MWAKA MMOJA TANGU KIFO CHA MANGWEA, MATUKIO YA IBADA YA KUMBUKUMBU

 Padri Octaviani Msimbe akiongoza ibada ya kumbukumbi ya kifo cha Albart Mangweha nyumbani kwao Kihonda 'Mazimbu Road' Morogoro


 
                        
 Padri Msimbe akisalimiana na mama mzazi wa Mangweha Bi Denisia Mangweha
 Mama Mangweha akipokea sakrameti takatifu


 Mchumba wa Mangweha  Michelle Louise raia ya Uingereza akihojiwa
 Msanii wa bongofleva Mgaza Pembe' M-2 THE- P ambaye alikuwa na m,arehemu Mangweha Afrika Kusini akipiga picha matukio ya lbada hiyo,
Mama Mangweha akitoa shukrani kwa watu walioshiriki lbada hiyo. 
Picha na Dastan Shekidele

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!