Happiness Magese mwanamitindo wa kimataifa kutoka Tanzania na Miss Tanzania 2001, sasa kutokana na tatizo alilonalo mwanadada 'Millen' amesema anajipanga kujenga hospitali ya wanawake nchini. Magese alisema hayo wakati akielezea historia ya maisha yak ambayo imemlazimi kutolewa kizazi kutokana na matatizo ya tumbo la kizazi yanayowapata wanawake wengi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment